Hubirini Kwa Kuimba
Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Christmas,Ordinary Time,Christmas,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Wedding,Wedding,Ordinary Time,Christmas,Lent,Christmas,Ordinary Time,Marian,Ordinary TimeExit
Chorus
Hubirini kwa sauti ya kuimba
Tangazeni tangazeni haya,
Yatamkeni mpaka mwisho wa dunia
Semeni Bwana amelikomboa taifa lake
Aleluya, aleluya, aleluya, Aleluya
Verse 2
Mpigieni Mungu kelele za shangwe nchi yote
Imbeni tukufu wa jina lake
Verse 3
Tukuzeni sifa zake, mwambieni Mungu
Matendo yako yanatisha kama nini
Verse 4
Atukuzwe Baba na Mwana na Roho Mtakatifu
Kama mwanzo na sasa na siku zote, na milele amina