SectionsExitHubirini Kwa Kuimba

Hubirini Kwa Kuimba

Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Christmas,Ordinary Time,Christmas,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Wedding,Wedding,Ordinary Time,Christmas,Lent,Christmas,Ordinary Time,Marian,Ordinary TimeExit
Chorus

Hubirini kwa sauti ya kuimba

Tangazeni tangazeni haya,

Yatamkeni mpaka mwisho wa dunia

Semeni Bwana amelikomboa taifa lake

Aleluya, aleluya, aleluya, Aleluya

Verse 2

Mpigieni Mungu kelele za shangwe nchi yote

Imbeni tukufu wa jina lake

Verse 3

Tukuzeni sifa zake, mwambieni Mungu

Matendo yako yanatisha kama nini

Verse 4

Atukuzwe Baba na Mwana na Roho Mtakatifu

Kama mwanzo na sasa na siku zote, na milele amina