SectionsBible ProcessionHubirini Hubirini

Hubirini Hubirini

Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Christmas,Ordinary Time,Christmas,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Wedding,Wedding,Ordinary Time,Christmas,Lent,Christmas,Ordinary Time,MarianBible Procession
Chorus

{ Hubirini, hubirini,

Hubirini kwa sauti ya kuimba, hubirini nyote

Tangazeni haya yatamkeni mpaka mwisho wa dunia } *2

Semeni Bwana, amelikomboa, amelikomboa, amelikomboa

Taifa taifa, taifa taifa, taifa lake - *2

Verse 2

[ s ] Pigieni Mungu vigelegele enyi wenye haki

Kusifu kunawapasa wanyofu, wanyofu wa moyo

Verse 3

Kwa kuwa Bwana ni mkuu na mwenye kusifiwa

Hubirini hubirini hubirini kwa sauti ya kuimba

Verse 4

Zitajeni sifa zake ametukuka Bwana Mungu

Hubirini hubirini hubirini kwa sauti ya kuimba