Hubirini Hubirini
Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Christmas,Ordinary Time,Christmas,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Wedding,Wedding,Ordinary Time,Christmas,Lent,Christmas,Ordinary Time,MarianBible Procession
Chorus
{ Hubirini, hubirini,
Hubirini kwa sauti ya kuimba, hubirini nyote
Tangazeni haya yatamkeni mpaka mwisho wa dunia } *2
Semeni Bwana, amelikomboa, amelikomboa, amelikomboa
Taifa taifa, taifa taifa, taifa lake - *2
Verse 2
[ s ] Pigieni Mungu vigelegele enyi wenye haki
Kusifu kunawapasa wanyofu, wanyofu wa moyo
Verse 3
Kwa kuwa Bwana ni mkuu na mwenye kusifiwa
Hubirini hubirini hubirini kwa sauti ya kuimba
Verse 4
Zitajeni sifa zake ametukuka Bwana Mungu
Hubirini hubirini hubirini kwa sauti ya kuimba