Chorus
Hosana mwana wa Daudi Hosana Mwananwa Daudi, Hosana (Hosana). Mbarikiwananayekuja kwa jina lake Bwana Mungu,
Hosana (Hosana) Hosana Hosana Hosanan(Hosana Hosana Hosana Mwana wa Daudi) *2
Verse 2
Kweli hii ndio siku Bwana aliyoifanya nantufurahie, mshukuruni Bwana Mungu kwanmaana fadhili zake ni za milele.
Verse 3
Mkono wa kuume wa Bwana umetendanmakuu na umetukuzwa, sitakufa balinnitaishi na kusimulia matendo ya Bwana.n
Verse 4
Jiwe walilolikataa ndilo Jiwe kuu lanpembeni, neno bali limetoka kwake
Bwana Mungu wetu.