Chorus
Hongera Mama Yetu - Maria
Kumzaa Mwana - mfaLme
Hongera hongera mama yetu
Kwa kumzaa mtoto Yesu
Mfalme na mkombozi wa wanadamu
Verse 2
Kwa utii wako Maria, ulikubali kumzaa mtoto
Mwanamume, kwa nini tusikuheshimu
Chorus
Mwenyezi amekuchagua, kumzaa mkombozi
Mwokozi wa ulimwengu, kwa nini tusikuheshimu
Verse 4
Mwenyezi amekukingia, ile dhambi ya asili
Hauna doa mama, kwa nini tusikuheshimu
Verse 5
Umemzaa Mwokozi na bado ukabaki bikira
Bikira milele, kwa nini tusikuheshimu