SectionsExitHongera Kwa Bwana Na Bi Harusi

Hongera Kwa Bwana Na Bi Harusi

Wedding,WeddingExit
Chorus

Hongera Bwana na Bi harusi *2

Twawatakia maisha marefu. *2

Hongera Bwana na Bibi harusi

Verse 2

Mliofunga ndoa leo

Muishi kwa amani nyumbani mwenu.

Verse 3

Pete mliovikana leo

Ni ishara ya mapendo mbele ya Mungu

Verse 4

Bwana amtendee Bibi mema

Bibi amtendee Bwana mema

Verse 5

Muwaheshimu wazazi wote

Kila upande Bibi na Bwana.

Verse 6

Kiapo cha leo mlichoapiana

Mkikumbuke siku zote.