Hongera Hongera
WeddingThanksgiving
Chorus
{ Hongera hongera
Bwana harusi hongera na bibi harusi } *2
Kwa kujongea altare yake Bwana
Upendo wenu mmeudhihirisha
Muishi kwa amani siku zote, katika nyumba yenu.
Mungu awabariki awalinde maisha yenu yote
Verse 2
Tunawatakia heri, salama na amani
Shikeni agano lenu, kwa uaminifu
Verse 3
Mungu awajalieni, baraka na rehema
Wajalieni watoto walo watakatifu
Verse 4
Leo mmedhihirisha, upendo thabiti
Alounganisha Mungu, yasitenganishwe.