SectionsEntranceHodi Hodi Nyumbani

Hodi Hodi Nyumbani

Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Christmas,Ordinary TimeEntrance
Chorus

Hodi hodi nyumbani mwako Bwana, ninabisha nifungulie

Nimekuja nyumbani mwako leo, nimekuja kukuabudu,

Kwa unyenyekevu naijongea, meza yako yenye baraka

Nakuja na sala zangu Ee Bwana, nakuomba zisikilize

Ninakutolea sadaka safi, Mungu Baba uipokee.

Verse 2

[ b ] Nyua za Bwana zapendeza, zinapendeza macho kama nini

Natamani kuingia hekaluni, [ w ] nikamwabudu

Verse 3

Nimeingia hekaluni, nimeingia hekaluni mwako

Nimekuja kuabudu kusujudu, nyumbani mwako

Verse 4

Unipokee Mungu wangu unitakase, mimi mwenye dhambi

Nimekuja mbele zako Mungu Baba, unipokee