Chorus
Hodi hodi nyumbani mwako Bwana
Ninabisha nifungulie, Nimekuja nyumbani mwako leo
Nimekuja kukuabudu
Kwa unyenyekevu naijongea
Meza yako yenye baraka
Nakuja na sala zangu ee Bwana
Nakuomba zisikilize
Ninakutolea sadaka yangu
Mungu Baba uipokee
Verse 2
Nyua za Bwana zapendeza,nzinapendeza macho kama ninin(Natamani kuingia hekaluninnikamwabudu) *2
Verse 3
Nimeingia hekaluni,nnimeingia hekaluni mwakon(Nimekuja kuabudu kusujudunnyumbani mwako) *2
Verse 4
Unipokee Mungu wangu,nunitakase mimi mwenye dhambin(Nimekuja mbele zako Mungu Babanunipokee) *2