Hima Hima

Offertory
Chorus

Hima hima leo najongea kwako Bwana.

Ninakuja kwako kwa unyenyekevu wangu.n(Nakutolea matunda ya jasho langu, pokea

Baba na mimi unipe Baraka *2)

Verse 2

Kwa ukarimu nimejitolea mimi mwenyewe, npolepole nasonga mbele nifke kwako.

Ninakukabidhi nilichonacho,nhiki kidogo Baba pokea

Verse 3

Mapato yangu ni duni sana we wanijua;nsina kitu kizuri cha kuletea wewe.

Ninakukabidhi maisha yangunuzima wangu Baba pokea

Verse 4

Mungu wangu ninakuja kwako nikushukuru,numenilinda siku zote asante sana.

Mavuno yangu nakupa wewenna fedha zangu Baba pokea

Verse 5

Wiki nzima umenijalia uhai bure,

Umenikinga na matatizo unanipenda,

Mkate huu nakutolea,

Divai hii Baba pokea.

Verse 6

Baraka zako ninazipokea siku kwa siku

Mungu Baba nionyeshe Mbingu nifanye kazi,

Mifugo yangu nakuletea

Furaha yangu Baba pokea