Chorus
Hiki ni chakula cha uzima (cha uzima)
Njooni tupokee *2
Verse 2
Bwana ni chakula kweli cha uzima,
Bwana ni kinywaji kweli
Verse 3
Bwana ndiye shime yangu na uzima
Kweli ni msaada wangu
Verse 4
Bwana ananifundisha njia zake kweli
Ni mwalimu wangu
Verse 5
Bwana ananituliza siku zote,
Yeye ni faraja yangu
Verse 6
Bwana ananishibisha siku zote,nyeye ni chakula changu
Verse 7
Bwana anaburudisha kweli kweli,
Yeye ni kinywaji changu