SectionsEucharistHiki Ni Chakula

Hiki Ni Chakula

Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,MarianEucharist
Chorus

Hiki ni chakula cha uzima (cha uzima)

Njooni tupokee *2

Verse 2

Bwana ni chakula kweli cha uzima,

Bwana ni kinywaji kweli

Verse 3

Bwana ndiye shime yangu na uzima

Kweli ni msaada wangu

Verse 4

Bwana ananifundisha njia zake kweli

Ni mwalimu wangu

Verse 5

Bwana ananituliza siku zote,

Yeye ni faraja yangu

Verse 6

Bwana ananishibisha siku zote,nyeye ni chakula changu

Verse 7

Bwana anaburudisha kweli kweli,

Yeye ni kinywaji changu