Chorus
{ Hiki ni chakula kilichoshuka kutoka mbinguni,nasema Bwana } *2n{ /b/ Siyo kama ile mana ya jangwani ambayo,
Baba zenu, baba zenu walikula
Baba zenu jangwani nao wakafann/t/ Siyo kama ile mana ya jangwani ambayo, Baba zenu walikula
Baba zenu jangwani nao wakafann/a/ Siyo kama ile mana ya jangwani ambayo walikula
Baba zenu jangwani nao wakafann/s/ Siyo kama ile mana ya jangwani walikula
Baba zenu jangwani nao wakafa } *2
Verse 2
Chakula hiki kweli ni chakula chenye uzima, asema Bwana,
Anayekula mwili na kuinywa hii damu, anao uzima
Verse 3
Twendeni wote tule mwili wake na damu yake, kwa Bwana Yesu
Anatualika sote kwa karamu yake kweli, tukale chakula
Verse 4
Songea ndugu wewe ni mwenye haki ya kujongea meza ya Bwana
Anakuita ule mwili wake na damu yake, upate uzima