SectionsEucharistHiki Ni Chakula (Ii)

Hiki Ni Chakula (Ii)

Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Lent,Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,MarianEucharist
Chorus

{ Hiki ni chakula kilichoshuka kutoka mbinguni,nasema Bwana } *2n{ /b/ Siyo kama ile mana ya jangwani ambayo,

Baba zenu, baba zenu walikula

Baba zenu jangwani nao wakafann/t/ Siyo kama ile mana ya jangwani ambayo, Baba zenu walikula

Baba zenu jangwani nao wakafann/a/ Siyo kama ile mana ya jangwani ambayo walikula

Baba zenu jangwani nao wakafann/s/ Siyo kama ile mana ya jangwani walikula

Baba zenu jangwani nao wakafa } *2

Verse 2

Chakula hiki kweli ni chakula chenye uzima, asema Bwana,

Anayekula mwili na kuinywa hii damu, anao uzima

Verse 3

Twendeni wote tule mwili wake na damu yake, kwa Bwana Yesu

Anatualika sote kwa karamu yake kweli, tukale chakula

Verse 4

Songea ndugu wewe ni mwenye haki ya kujongea meza ya Bwana

Anakuita ule mwili wake na damu yake, upate uzima