Chorus
{ Hiki ndicho chakula bora kwa wanyofu wa moyo
Wote wenye mioyo safi Bwana awaalika } *2n{ /s/ a/t/b/
Haya njoni wote mezani kwa chakula bora cha uzima
Haya njoni wote mezani kwa chakula bora
Haya njoni kwa chakula bora, cha uzima
Wana heri wale wote, wanaokipokea } *2
Verse 2
Kwa upendo Bwana Yesu amejitoa kama chakula
Bwana akajitoa, apate kuziokoa roho zetu.
Verse 3
Njooni wote wenye kiu ya kupokea wokovu wake
Njooni maskini, njoni viwete vipofu na wagonjwa
Verse 4
Tule tunywe siku zote kwa ukombozi wa roho zetu
Haya njoni wote, mezani kwa Bwana kwa chakula bora