Hii ni sauti ya mtu yule, aliaye kutoka nyikani * 2n
Itengezeni njia ya Bwana,yanyoosheni mapito yake * 2
Na wote wenye mwili watauona, wokovu wa Mungu aleluya * 2
Haya ng'oeni magugu yote, tusafishe tusafishe
Haya ng'oeni na mizizi yake, tusafishe tusafishen{Tusaishe bila ya kinyongo, ndugu zangu tusafishe
Tusafishe kwa moyo mmoja, ndugu zangu tusafishe}
Tuichimbeni mizizi ya rushwa, tusafishe tusafishe
Tuyafukieni mashimo ya rushwa, tusafishe tusafishe
Tusafishe bila ya kinyongo, ndugu zangu tusafishe
Tusafishe kwa moyo mmoja, ndugu zangu tusafishe
Tujaze kifusi penye ubinafsi, tusafishe tusafishe
Tujenge upendo kwa jamii yote, tusafishe tusafishe
Tusafishe bila ya kinyongo, ndugu zangu tusafishe
Tusafishe kwa moyo mmoja, ndugu zangu tusafishe
Penye fitina tumwage Molami, tusafishe tusafishe
Penye majungu tumwage Molami, tusafishe tusafishe
Tusafishe bila ya kinyongo, ndugu zangu tusafishe
Tusafishe kwa moyo mmoja, ndugu zangu tusafishe
Tuzisafisheni nyumba za wachawi, tusafishe tusafishe
Tuzisafisheni kwa jina la Mungu, tusafishe tusafishen(ii) Tusafisheni kwa imani, ndugu zangu tusafishe
Tusafishe siku ile yaja, ndugu zangu tusafishe
Tuing'oeni mizizi ya vita, tusafishe tusafishe
Tupalilie shamba la upedo, tusafishe tusafishen(ii) Sisi sote ni watoto wa Mungu, ndugu zangu tupendane,
Sisi sote baba yetu mmoja, ndugu zangu tupendane.