Chorus
{ Hii ni kwaresma,nhii ni kwaresma, mwanadamu ukumbuke }*2nn{ Ndio wakati wa kuacha dhambi
Ndio wakati wa kuacha maovu
Ndio wakati wa kufunga na kutoa sadaka kwa maskini } *2
Verse 2
Rarueni mioyo yenu wala sio mavazi
Verse 3
Nirudieni mimi kwa mioyo yenu yote kwa kufunga na kwa kulia na kwa kuombolezan