Chorus
Hii ni karamu, uzima wa roho,
Yumo Bwana Yesu, kwa mwili wake, kweli na damu yake
Verse 2
Alisema Bwana twaeni wote, mle ni mwili wangu
Verse 3
Alisema Bwana twaeni wote, mnywe ni damu yangu
Verse 4
Nasi twasadiki ni mwili wake, kweli na damu yake
Verse 5
Alituamuru kufanya hivyo, kwa ukumbusho wake
Verse 6
Tukifanya hivyo tunatangaza, kifo cha Bwana Yesu
Verse 7
Kwa hii karamu, Twashiriki uzima wa Bwana wetu
Verse 8
Huu ni upendo aliotuachia, mkombozi wetu
Verse 9
Hapa duniani twaishi na Baba, kwa karamu hii
Verse 10
Na huko mbinguni tutaishi, na Baba milele yote