SectionsEucharistHii Ni Ekaristi

Hii Ni Ekaristi

Eucharist
Verse 1

Hii ni Ekaristi aliyotuachia

Bwana Yesu Kristu, Kristu,

Mkombozi wa dunia

Chorus

imbeni imbeni kwa furahansifuni sifuni Ekaristi,nalimo Yesu Kristu, Kristu, alimo ni mzima

Verse 3

Yesu katuonea wema pia huruma,

Alitupenda sana sana akatupa uzima.

Verse 4

Jioni alhamisi alichukua mkate,

Kaugeuza mwili, mwili kuleni, mkaokoke

Verse 5

Pia alichukua kikombe cha divai,

Kaigeuza damu, damu kunyweni, mkaokoke

Verse 6

Walipokwisha kula, kawaosha miguu,

Nimewapa mfano, mfano, fanyeni nanyi vile

Verse 7

Yesu, mwili na damu, chakula cha uzima,

Tujaliwe kupata, pata uzima wa milele