Verse 1
Hii ni Ekaristi aliyotuachia
Bwana Yesu Kristu, Kristu,
Mkombozi wa dunia
Chorus
imbeni imbeni kwa furahansifuni sifuni Ekaristi,nalimo Yesu Kristu, Kristu, alimo ni mzima
Verse 3
Yesu katuonea wema pia huruma,
Alitupenda sana sana akatupa uzima.
Verse 4
Jioni alhamisi alichukua mkate,
Kaugeuza mwili, mwili kuleni, mkaokoke
Verse 5
Pia alichukua kikombe cha divai,
Kaigeuza damu, damu kunyweni, mkaokoke
Verse 6
Walipokwisha kula, kawaosha miguu,
Nimewapa mfano, mfano, fanyeni nanyi vile
Verse 7
Yesu, mwili na damu, chakula cha uzima,
Tujaliwe kupata, pata uzima wa milele