Chorus
Hii ndiyo siku aliyoifanya Bwana
Tuishangilie na kufurahia nayo
Verse 2
Hii ndiyo siku aliyoifanya Bwana
Tuishangilie na kufurahia nayo
Verse 3
Mkono wa kuume umetenda makuu
Mkono wa kuume imenisimamia
Verse 4
Sitakufa moyo bali nitaishi mzima
Nitasimulia matendo yake Bwana
Verse 5
Bwana nguvu yangu na pia wimbo wangu
Yeye amekuwa heri wokovu wetun
Verse 6
Tumshukuru Bwana kwa kuwa yu mwema
Na fadhili zake zinadumu milele
Verse 7
Neno hili zuri limetoka kwa Bwana
Nalo ni uzima sana maishani mwetu