Chorus
Hii ndiyo siku, aloifanya Bwana *2
Tuishangilie, na kuifurahiya *2n{Tupige makofi na vigelegele
Sote turuke juu tumshukuru Mungu } *2
Verse 2
Ndiwe Mungu wangu nami nitakushukuru
Ndiwe Mungu wangu nami nitakutukuza
Nitakushukuru kwa moyo wangu wote
Kwa mema yote Bwana uliyonijalia
Verse 3
Nifungulieni malango ya haki,
Nitaingia mimi na kumshukuru Mungu
Nitakushukuru kwa moyo wangu wote
Kwa mema yote Bwana uliyonijalia
Verse 4
Mkono wa kuume wa Bwana umetukuzwa
Mkono wa Bwana hutenda makuu
Nitakushukuru kwa moyo wangu wote
Kwa mema yote Bwana uliyonijalia
Verse 5
Mshukuruni Bwana kwa kuwa yeye ni mwema
Kwa maana fadhili zake ni za milele
Nitakushukuru kwa moyo wangu wote
Kwa mema yote Bwana uliyonijalia