Chorus
{Heri walio maskini wa roho,
Kwa maana ufalme wa mbinguni ni wao }*2n{(Heri) heri wenye huzuni (wao) watafarijiwan(Heri) wenye upole watairithi nchi }*2
Verse 2
Heri walio na njaa na kiu ya haki,
Kwa maana maana hao watashibishwa (heri)
Heri wenye rehema (hawa) watapata rehema
Heri wenye moyo safi hao watamwona Mungu
Verse 3
Heri wale walio wapatanishi
Kwa maana wataitwa wana wa Mungun(Heri) wenye kuuliwa (kwa) kwa ajili ya hakinkwa maana ufalme wa mbinguni ni wao
Verse 4
Heri washutumiwao na kuudhiwa,
Na kunenewa neno baya kwa ajili yangu *2n(Nyinyi) furahini sana (pia) na kushangilia
Kwa maana dhawabu yenu ni kubwa mbinguni