SectionsExitHeri Nyinyi

Heri Nyinyi

Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Christmas,Ordinary Time,Ordinary Time,MarianExit
Chorus

{ Heri ninyi watakapo washtumu

Na kuwanenea kila neno baya } *2n{ Lakini furahini sana (sana) na kushangilia

Kwa kuwa dhawabu yenu kubwa Mbinguni } *2

Verse 2

Watawasaliti ninyi ili mpate dhiki

Watawakamata ninyi na kuwapiga sana

Kwa ajili ya jina langu

Verse 3

Watawazushia ninyi maneno ya uwongo

Watawahukumu ninyi jinsi watavyotaka

Kwa ajili ya jina langu

Verse 4

Watawafuata ninyi ili wawasakame

Kwa maana mtasifiwa kwa kila mfanyacho

Kwa ajili ya jina langu