Chorus
{Heri amkumbukaye mnyonge ataokolewa siku ya tabu
Bwana atamlinda na kumhifadhi na kumhifadhi hai } * 2
Verse 2
Na atamtegemeza atamtegemeza alipo
Atamtegemeza alipo mgonjwa mgonjwa wa kitandani
Verse 3
Katika ugonjwa wake, nawe umemtandikia
Na mimi nalisema Bwana unifadhili unifadhili mimi
Verse 4
Katika ukamilifu wake, umeniweka mbele ya uso
Na umeniweka mbele ya uso wako na uso wako milele