SectionsEucharistHeri Amchaye Bwana / Heri Mtu Yule

Heri Amchaye Bwana / Heri Mtu Yule

Ordinary TimeEucharist
Chorus

{ Heri mtu yule, amchaye Bwana,

Amchaye Bwana, aendaye katika njia zake } *2

Verse 2

Taabu ya mikono yako utaila,

Utakuwa mwenye heri na baraka

Verse 3

Mkeo atakuwa kama mzabibu,

Uzaao nyumbani mwa-ko

Verse 4

Wanao kama miche ya mizeituni,

Wakizunguka meza yako meza yako

Verse 5

Hakika amebariki-wa hivyo

Mtu yule amchaye Bwana Bwana Mungu