SectionsExitHebu Jiulize

Hebu Jiulize

Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Marian,Ordinary TimeExit
Chorus

{Hebu jiulize lingetolewa tangazo leo

Ya kwamba kila apumuayenna ailipie pumzi avutayo } *2

Ni nani angejificha asilipe kodi,

Ni nani angesema yeye ni masikini,

Ni nani angekwepa kwani yeye ni tajiri

Ni nani angekuwa kweli mtu wa kiburi

Ni nani angekwepa kweli kulipia kodi (nasema)

Ni nani angependa kunyang'anywa uhai wake * 2

Verse 2

Tazama sasa majirani zako wote,

Hakuna unayeongea naye

Kwani unawadharaunkwa kuwa wao hawana fedha kama zako

Hebu tazama baadhi ya ndugu zako,

Hupendi hata kuwaona kwako

Unawakana kwa kuwa, wao ni maskini,ntena unawaona ni wachafu.

Verse 3

Kwa nini hivyo, biashara zako,nwewe unawaajiri wafanya kazi

Tena ni wachapa kazi na mwisho wa mwezi,nhuwafichia eti wameiba

Hebu tazama wapoteza fedha nyingi,nunapokuwa baa na marafiki

Kwa ajili tu ya anasa, na kuwasaidia,nmaskini kwako ni hasara

Verse 4

Jitafakari, fungua na legeza moyo wakonkwa kuwajali wasiojiweza

Na wenye shida mbalimbali, na sio kuegeza

Hazina ya moyowe kwa shetani.