Chorus
Hiki ndicho nilichoandaa, siku ya leon(Nami) nakusihi ukipokee
Hii ndiyo shukrani yangu, sehemu ya pato langu
Itokayo ndani ya mtima wangu nvHivyo, naileta mikononi mwako (ambapo) nondo hawataiharibu (na kutu)
Naileta mikononi mwako, ambapo mwizi hawezi kuibannaileta mahali salama iwe hazina yangu mbinguni
Verse 2
Ninakutolea moyo wangu wala si mifuko yangu
Ndiyo kazi ya mikono yangu, nakusihi uibariki
Verse 3
Hata kama ni kidogo nakusihi ukipokee
Kwani ndicho nilichoandaa kukutolea ee Mungu wangu
Verse 4
Hiki ninachokutolea kikekupendeze Mungu wangu
Kama ile sadaka ya mtumishi wako, mtumishi wako Abeli.