Haya Njooni Njooni
Christmas,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Easter,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Wedding,Wedding,Wedding,Wedding,Ordinary Time,Wedding,Wedding,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,Easter,Ordinary Time,MarianEntrance
Chorus
{Haya njooni njooni, njooni tumsifu Bwana
Haya njooni njooni, tumwimbie kwa furaha } *2n{Tetemekeeni mbele zake, na msujudieni yeye
Haya njooni njooni tumwimbie kwa furaha } *2
Verse 2
Jongeeni mbele zake, jongeeni patakatifu
Jongeeni tumuabudu Bwa-na Mungu wetu
Verse 3
Kwapendeza *2 kusifu kwapendeza sana
Njooni kwa shangwe tumsifu na tumsujudie
Verse 4
Sujuduni kwa heshima mbele ya kiti chake Bwana
Mbele ya kiti chake Bwana kiti chake cha enzi