SectionsExitHaya Karibuni

Haya Karibuni

Christmas,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Easter,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Wedding,Wedding,Wedding,Wedding,Ordinary Time,Wedding,Wedding,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Marian,EasterExit
Chorus

Haya wapendwa wote mwaalika kwa karamu

Kushiriki utamu, utamu wa karamunkaramu ya Bwana *2

Amka ndugu yangu Bwana Yesu ametuita

Tukale mwili wake pia tukanywe damu yaken(twende) simama simama simama

Simama umpokee ee changamka changamka

Changamka changamka akujaze neema zake

Verse 2

Karamu ya mapendo karamu safi na takatifu,

Mwaalikwa wapendwa ili mpokee

Verse 3

Wenye mioyo safi Mwokozi sasa ametuita,

Kwa moyo safi twende wote tupokee

Verse 4

Tutubu dhambi zetu tushiriki karamu ya Bwana

Kwa moyo safi twende wote tupokee

Verse 5

Ni mapendo makubwa Mwokozi yeye katulinda

Tuleni siku zote tufike kwake