Chorus
{ Hatuteteleki na wala hatubabaishwi,
Mioyoni mwetu hakuna cha kutusuasua
Kwa kuwa tunaye mwenyezi Mungu mwenye haki } *2n
Chorus
n{ Ukiwa na imani na Mungu -
Hautaaibishwa, hautatishwatishwa,nhautadhamiria dhambi
Kama ni maisha ya dunia -
Utakula na kunywa, utavaa vizuri,
Utapata hata na watoto,
Tena wenye tabia njema na elimu bora } *2
Verse 3
Ndani yake yeye ni utamu, shida haijui watu wake,
Kweli Mungu ni mwema
Verse 4
Afya njema aliumba yeye, utajiri aujua yeye,
Kweli Mungu ni mwema
Verse 5
Wa dunia wakikusimanga, Mungu atafanya unenepe
Kweli Mungu ni mwema
Verse 6
Kazi zako watakupangia, Hata sio kwa idhini yako
Mungu awasamehe.