Verse 1
Hata ndimi elfu, hazitoshi kweli
Bwana Yesu kumsifu kwa zake fadhili
Verse 2
Yesu jina kubwa liwezalo kufukuza hofu,nlinafurahisha hili lanipa wokovu
Verse 3
Jina hili ni uzima, ni afya amani ,
Laleta habari njema, twalipiwa deni.n
Verse 4
Yesu huvunja mikufu ya dhambi moyoni,
Msamaha ,tena nguvu twapata rohoni
Verse 5
Kwa sauti yake vile, watu hufufuka,
Wakafurahi milele pasipo mashaka