Verse 1
{ Jamani leo ni furaha,
Leo leo kwetu sisi ni furaha, furaha } *2
Chorus
Harusi yetu leo tuishangilie,nhongera kwenu, tunawapa heko
Wapenzi wametuita tuwape heko,nhongera kwenu, tunawapa heko,n{ Nazo baraka zake Mungu ziwe nanyi pia,nmaishani mwenu } *2
Verse 3
Mimi nimekuchagua uwe wangu wa maisha,
Naahidi takupenda siku zote milele.
Verse 4
Mimi kweli nitakupenda kwa roho yangu yote,
Kama vile Yesu alivyoipenda kanisa
Verse 5
Angalia vazi langu lilivyopambwa marembo,
Hata ndege wa angani wanatushangilia.
Verse 6
Mwendo wako wa maringo, sura yako ya mapenzi,
Mungu Baba atujalie baraka milele