SectionsExitHarusi Njema

Harusi Njema

Christmas,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Easter,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Wedding,WeddingExit
Verse 1

Arusi njema wakristu

Ni arusi iliyoandaliwa mbele ya kanisa *2n(Alto) Akristu (Ten) Njooni [w:] Akristu

Njooni tushangilie pamoja

Njooni tushangilie leo ni furaha

Tukiwaona na

Wakipatana leo kwetu ni furahanna

Wakipatana leo kwetu ni furaha

Wakipatana leo kwetu ni shangwe

Chorus

Upendo wenu umedhihirika

Uyani kwenu bamba ishini tototo

Uzuri wenu hauna kifani

Uyani kwenu bamba ishini tototo

Na nyumba yenu imebarikiwa

Uyani kwenu bamba ishini tototo ooo

Verse 3

Jitulize mjisikie sukari, siku ya leo ni yenu,

Furahini, mmepambwa maua mnapendeza

Verse 4

Bwana arusi kwanza wachangamka, bibi arusi chachawa,

Chezacheza, penzi lenu leo limekamilika

Verse 5

Mapenzi yenu yote yatasitawi, hakika yatasitawi,

Yatamea, kama ule mwerezi wa Lebanoni

Verse 6

Baraka zake Mungu ziwashukie, kaeni pasipo shida,

Siku zote nyumba yenu iwe hekalu la Mungu.