Chorus
Je! Je! Ni nani aliyesadiki habari hii tuliyoleta
Na mkono wa Bwana amefunuliwa nani
Maana alikua mbele zake kama mche kama mche mwororon(Na kama) kama mzizi katika nchi kavun{ Alidharauliwa na kukataliwa na watu
Mtu mwenye huzuni nyingi ajuaye sikitiko } *2
Verse 2
Ni kama mtu ambaye watu humficha uso
Aliyedharauliwa, hakuhesabiwa kitu
Hakika kayachukua, na masikitiko yetu,
Amejitwika huzuni, huzuni, huzuni yetu
Verse 3
Lakini tulidhania, yeye kuwa amepigwa
Ya kuwa yeye kapigwa kapigwa yeye na Mungu
Bali alijeruhiwa, yeye kwa makosa yetu
Alichubuliwa yeye, pia kwa maovu yetu
Verse 4
Adhabu amani yetu, ilikuwa juu yake,
Kwa kupigwa kwa sisi, sisi sote tumepona
Sisi ni kama kondoo, kondoo tumepotea
Tumegeukia njia, kila mtu njia yake