Verse 1
Habari njema kwa wakristu wote, Mwokozi Kristu amefufuka
Habari njema kwa wakristu wote, Mwokozi Kristu amefufuka
Chorus
Ewe mkristu, shangwe kuu kwake amefufuka*2
Verse 3
Naye Mariyamu na wenzake wote walikuta kaburi liko wazi
Hapo mariyamu akaenda mbio kwa wanafunzi kupasha habari
Verse 4
Thomaso naye hakuamini kamwe ya kwamba Yesu kafufuka
Kwa maonyesho pia Thomaso kweli akaamini amefufuka