Verse 1
Utukufu kwa Mungu juu mbinguni
Na amani duniani kwa watu wa mapenzinmeema tunakushukuru kwa jili ya utukufunwako mkuu
Chorus
(Tunakusifu tunakuheshimu tunakuabuduntunakutukuza)x2
Verse 3
Ee Bwana we Mungu ni mwana kondoonwa Mungu,
Mwana wake Baba mwenye kuondoandhambi za watu;
Verse 4
Ewe mwenye kuondoa dhambi za dunia,
Mungu;
Utuhurumie ombi letu upokee
Verse 5
Ewe mwenye kuketi kuume kwa Babanmwenyezi;
Utuhurumie ndiwe pekee yako mtakatifu;
Verse 6
Peke yako ni Bwana wa pekee mkuu
Yesu Kristu;
Pamoja na Roho katika utukufu wa
Mungu baba