Verse 1
Nasadiki kwa Mungu mmoja
Muumba mbingu na dunia na kwanmwana wa pekee yesu Kristu Bwananwetu ninasadiki
Verse 2
Aliyetungwa kwa uwezo wake Roho
Mtakatifu kazaliwa na Bikira ninasadiki
Verse 3
Aliteswa kwa pilato alisulibiwa na akafanakazikwa akashukia na kuzimunkafufuka yeye siku ya tatu toka wafunninasadiki
Chorus
Ninasadiiki, ninasadiki, ninasadiki
Verse 5
Akapaa juu mbinguni, ameketi kuumenkwake Baba mwenyezi
Atakapotokea kuhukumu watu wotenwazima na wafu
Verse 6
Nasadiki kwake Roho na kanisa takatifunkatoliki la mitume
Ushirika ule mwema wa watakatifu wote,nmaondoleo ya dhambi
Verse 7
Ufufuko wa miili na uzima wa milelenijayo Amina
Ufufuko wa miili na uzima na milele ijayonamina..