SectionsExitFurahini Siku Zote

Furahini Siku Zote

Christmas,Ordinary TimeExit
Chorus

{Furahini siku zote, ombeni bila mwisho

Shukuruni kwa kila jambonmaana hayo ni mapenzi ya Mungu wetu } * 2

Verse 2

Tutubuni na kusalintuombeni na baraka

Tudumishe familia

Verse 3

Unapopatwa na shida,nsi mwisho wa roho yako

Shukuruni na kuomba

Verse 4

Matendo yenu mazuri,nyawe kitulizo kwenu

Kwa kusali na kuomba

Verse 5

Baraka anazo Mungu,naombaye atapewa

Shukuruni na kuomba