Chorus
{Furahini siku zote, ombeni bila mwisho
Shukuruni kwa kila jambonmaana hayo ni mapenzi ya Mungu wetu } * 2
Verse 2
Tutubuni na kusalintuombeni na baraka
Tudumishe familia
Verse 3
Unapopatwa na shida,nsi mwisho wa roho yako
Shukuruni na kuomba
Verse 4
Matendo yenu mazuri,nyawe kitulizo kwenu
Kwa kusali na kuomba
Verse 5
Baraka anazo Mungu,naombaye atapewa
Shukuruni na kuomba