SectionsExitFurahini Katika Mji

Furahini Katika Mji

ChristmasExit
Chorus

Furahini katika mji wa Daudi amezaliwa mtoto *2

Tumepewa mtoto mwanaumenmwenye ufalme mabegani pake

Enyi mataifa njooni tufurahi tumshangilie Bwana

Tumshangilie Bwana Yesu kazaliwa *2

Verse 2

Kwa maana kwa ajili yetu mtoto amezaliwa,ntumshangile (Bwana)

Tumepewa mtoto mwana wake Mungunkwetu kazaliwa, tumshangilie (Bwana)

Verse 3

Na uwezo wa kifalme utakuwa begani mwake,ntumshangilie (Bwana)

Ataitwa jina lake mshauri wa ajabu,ntumshangilie (Bwana)