SectionsEucharistFurahini Jerusalemu

Furahini Jerusalemu

Ordinary Time,MarianEucharist
Chorus

Furahi ee Yerusalemu, furahi na tenan{Mshangilieni nyinyi nyote mmpendao

Nyinyi mliao kwa ajili yake } * 2

Verse 2

Mpate kushiba na kunyonya, kushibishwa maziwa

Na maziwa ya faraja faraja zake Kristu.

Verse 3

Furahieni fadhili zake, fadhili zake Mumba wetu

Kwa ajili ya faraja faraja zake Kristu