Furaha Nishabatizwa
Lent,Lent,Lent,Lent,Lent,Advent,Advent,Advent,Advent,BaptismThanksgiving
Verse 1
Furaha nishabatizwa, usaf huu moyonwangu na sasa nimekwisha fanywanmotto wake Mungu wangu kwa hivyonmimi ni mkristu wa kweli mwana wa kanisanshukrani kwako Mungu wangu
Verse 2
Ee Baba, uliyeniumba, mapenzi yakonyatimie kwa roho, hata mwili wangu,ntayari kukutumikia
Verse 3
Ee Mwana, uliyenikomboa, na Babanukaniunganisha damuyo nisiisahaunambayo imenisafsha
Verse 4
Ee Roho, umenishukia, fahari naonamoyoni mwangazao udumu kwangu,namani yako nipe hima.