SectionsExitFuaha Yako

Fuaha Yako

Ordinary TimeExit
Chorus

Kuna kitu wewe wawazan(na pia) kuna kitu wewe wapendan(Tazama) kuna kitu wewe watakandaima mchana usiku wawazan(Na sasa) ukipata unafurahin(kuliko) nazo shida kuzisahaun(Tazama) moyo hujawa na furahanna kumbe matatizo unaongeza

Chorus

Ukienda huku we - barabara ni yako we

Ukirudi huku lo - barabara ni yako tu

Kwenye kuongea we - tunajua ni wewe tu

Na kwenye kelele -tunajua ni wewe tu

Ukienda huku we - mbele kweli yako we

Ukirudi huku lo - katikati chako we

Ukienda kule ee - na ulafi ni wako we

Ukifurahia ee - nayo gongo ni yako eh!

Unachokijua kimoja - ulevi,nnyumba imekuwa ni fujo,n(Tazama) Kelele huzuni na kero,nsababu ya kukarabati mizigon(Najua) kazi hiyo aliyekupa ni nani,nshetani mpenda tamaan(Huoni) amani upendo huruma hakuna,nhuwezi kupata furaha

Verse 3

[s]

Unapokipata kinywaji, kazi yako wewe ni moja

Wenzako wakipata kiu, wewe unamiminia

Furaha yako iliyoje, kujiburudisha na pomben[b]

Itazame na afya yangu, na sasa inayo migogoro

Chakula kwangu siyo kitu, pombe na mimi mimi na pombe

Hata na maendeleo yangu yamekuwa ni ya kuzorota

Verse 4

Itazame na nyumba yetu, amani upendo hakuna

Watazame watoto wetu, afya yao inavyoyumba

Nguo zao sasa ni duni, viraka vina mkutanon

Nikitazama ndoa yangu, ni lawama na ni lawama

Kurudi kwangu ni usiku, tena usiku wa maneno

Nina shtuma kama shindano, huyu maarufu gani tena?

Verse 5

Uurudishe moyo nyuma, ukabadilike mwenendo

Familia uitazame, ndoa nayo uijali

Watoto msingi wa kesho, maendeleo wajengeen

Kumbe kweli nilipotea, na kuyasahau majukumu

Familia hata ndoa yangu, nilitelekeza kwa ulevi

Hata na mlango wa kanisa na jumuiya sikukumbuka