Chorus
{ Fadhili za Bwana zina wamchao
Tangu milele hata milele } *2
Verse 2
Ee nafsi yangu umhimidi Bwana
Naam vyote vilivyo ndani yangu
Vilihimidi Jina lake tukufu
Verse 3
Akusamehe maovu yako yote
Akuponye magonjwa yako yote
Aukomboa uhai wako na kaburi
Verse 4
Bwana ndiye afanyaye mambo ya haki
Na hukumu kwa wote walioonewa
Alimjulisha Musa njia zake
Verse 5
Bwana amejaa huruma na neema
Haoni hasira ni mwingi wa fadhili
Hakututenda sawa na hatia zetu