SectionsExitFadili Za Bwana (Ii)

Fadili Za Bwana (Ii)

Ordinary Time,Marian,Easter,Ordinary Time,Resurrection,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Lent,Ordinary Time,Lent,LentExit
Chorus

{ Fadhili za Bwana zina wamchao

Tangu milele hata milele } *2

Verse 2

Ee nafsi yangu umhimidi Bwana

Naam vyote vilivyo ndani yangu

Vilihimidi Jina lake tukufu

Verse 3

Akusamehe maovu yako yote

Akuponye magonjwa yako yote

Aukomboa uhai wako na kaburi

Verse 4

Bwana ndiye afanyaye mambo ya haki

Na hukumu kwa wote walioonewa

Alimjulisha Musa njia zake

Verse 5

Bwana amejaa huruma na neema

Haoni hasira ni mwingi wa fadhili

Hakututenda sawa na hatia zetu