Chorus
Fadhili, Fadhili za Bwana nitaziimba milele*2
Kwa kinywa changu nitavijulisha (vijulisha)nvizazi vyote uhaminifu wako
Nitavijulisha, uhaminifu wako.
Verse 2
Maana nimesema, nimesema fadhili zitajengwa milele,nkatika mbingu utaudhibitisha uaminifu wako
Verse 3
Nimefanya agano,na mteule wangu nimemwapia Daudi,nmtumishi wangu,kuwa wazao wako nitawafanya imara milele