Verse 1
Ewe Yesu ulikuja kutuokoa sisi *2n
Chorus
Bwana Yesu nioshe dhambi niwe wako milele (Bwana)
Bwana Yesu nioshe dhambi niwe wako milele
Verse 3
Ewe Yesu ulikuja kwa ajili ya watu *2n
Verse 4
Ewe Yesu ulikuja tupate 'okolewa *2
Verse 5
Ewe Yesu uje kwangu, fufua moyo wangu *2