Chorus
{We Maria
Umebarikiwa kuliko wanawake wote
Umetuzalia Mtoto Mwanaume } *2
Mwenye ufalme mabegani mwake * 2
Verse 2
Bikira Maria umebarikiwa kuliko wanawake wote
Umetuzalia mtoto mwanaume, mtawala ni mfalme wetu
Verse 3
Mtoto mwanaume ni Bwana mtawala wa Mbingu na dunia
Maria ni Mama, ni Mama wa Mungu, pia ni mama yetu sisi
Verse 4
Ee Mama wa Mungu tunakupongeza kwa kutuletea Mwokozi
Maria twaomba maombi yetu yafike kwa Yesu mwanao