Chorus
{Ewe Mama Maria umebarikiwa,
Mama mwenye huruma, utuombee} *2
Verse 2
Umebarikiwa Mama wa Mungu
Mama wa Mwokozi Mama wa Yesu
Utuombee Mama mwenye huruma
Verse 3
Uwinguni juu unapoketi
Na mwanao Yesu anatawala
Utuombee Mama utuongoze
Verse 4
Adui shetani ametubana
Utukinge na hila zake
Utuombee mama mwenye huruma
Verse 5
Na siku ya mwisho usiwe mbali
Kufa peke yetu sikubali
Mama mwenye huruma utuombee
Verse 6
Mama wetu bora tunakusifu
Na huko Mbinguni wakuheshimu
Utuunganishe ee Mama mwema