Chorus
Enyi watu wa Galilaya mbona mmesimama *2nmkitazama Mbinguni
Atakuja vivyo hivyo mlivyomwonanakienda zake Mbinguni
Aleluya Aleluya
Imba imba imba *3
Mwimbieni Bwana mfalme wetu
Amepaa kwa kelele za shangwe *2
Verse 2
Watu wote mpige makofi mpigieni Mungunkelele ni mkuu wa dunia yote
Verse 3
Mungu amepaa kwa shangwe kwa sauti ya baragumu,nkwa kelele za shangwe kubwa
Verse 4
Mwimbieni mfalme wetu, mwimbieni nyimbo za shangwe,nmkipiga vigelegele