Chorus
Enyi wanadamu msisumbukie maisha yenu
Kwani yale yote mnayoyasumbukia Mungu anayajuan{ Msijiulize ulize kwamba mtaishi vipi
Bali utafuteni kwanza ufalme (wa Mungu)
Nayo mahitaji yenu mnayohangaikiankila siku Mungu atawapa } *2
Verse 2
Msifikiri sana, juu ya maisha yenu
Bali mtumikieni Mungu,
Kwa kusali na kutenda mema,
Kwa kuwa Mungu ndiye mtoaji wa vyote
Verse 3
Jueni Mungu ndiye, kinga ya maisha yenu
Sasa mtumikieni Mungu,
Kwa kusali na kutenda mema,
Kwa kuwa Mungu ndiye mtoaji wa vyote