SectionsExitEnyi Wanadamu

Enyi Wanadamu

Ordinary Time,Marian,Easter,Ordinary TimeExit
Chorus

Enyi wanadamu msisumbukie maisha yenu

Kwani yale yote mnayoyasumbukia Mungu anayajuan{ Msijiulize ulize kwamba mtaishi vipi

Bali utafuteni kwanza ufalme (wa Mungu)

Nayo mahitaji yenu mnayohangaikiankila siku Mungu atawapa } *2

Verse 2

Msifikiri sana, juu ya maisha yenu

Bali mtumikieni Mungu,

Kwa kusali na kutenda mema,

Kwa kuwa Mungu ndiye mtoaji wa vyote

Verse 3

Jueni Mungu ndiye, kinga ya maisha yenu

Sasa mtumikieni Mungu,

Kwa kusali na kutenda mema,

Kwa kuwa Mungu ndiye mtoaji wa vyote