Verse 1
{Enyi walinzi mwaenda wapi,n
Yesu hayumo katika kaburi (hakika)
Na Galilaya katangulia ni mzi-ma aleluya }* 2n/s/ Tuimbe leo Bwana amefufuka *2n/a/ Tuimbe leo hakika Bwana amefufukan/t/ Aaah aah aah kuu aleluyan/b/ Aaah aah aleluya furaha kuu aleluya
Verse 2
Nanyi walinzi uoga mwingi . . .
Verse 3
Na manukato mnayobeba . . .