SectionsExitEnyi Nchi Yote

Enyi Nchi Yote

Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Easter,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,MarianExit
Chorus

{ Enyi nchi yote mpigieni Mungu vigelegele

Msifuni amewakweza maskini } *2

Bwa-na akalikomboa taifa lake

Watu wote wakaokolewa

Ndege angani warukaruka

Miti milima yachezacheza

Pigieni Mungu vigelegele enyi wenye haki

Kusifu kwawapasa wanyofu wa moyo *2

Verse 2

Bwana amelikomboa taifa lake lote,nkalikomboa taifa lake

Verse 3

Nchi yote nayo sasa ishangilie Bwana,nkalikomboa taifa lake

Verse 4

Enyi viumbe wa Bwana msifuni Bwana Mungu,nkalikomboa taifa lake.