Ekaristia Takatifu
Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,Ordinary Time,Marian,Lent,Ordinary Time,Ordinary Time,Easter,Ordinary Time,Marian,Ordinary Time,Ordinary Time,MarianEucharist
Verse 1
Ekaristia takatifu ni mwili na damu yake Yesu
Aliyesulubiwa msalabani ili kutukomboa
Jioni Alhamisi katwaa mkate,n(Pia) Divai kawapa wanafunzin(Ili) wanywe kwa ukumbusho wake
Chorus
Njooni njooni wateule (wote)
Njooni tumwabudu Kristu katika sakramentin(Ndugu) njooni njooni tumwabudu Yesu
Njooni njooni tumwabudu Kristu katika sakramenti
Verse 3
Tujongee taratibu tukale karamu takatifu
Aliyotuachia Yesu Kristu kwa ukarimu wake
Chakula cha uzima [Na] kinywaji cha rohon(Hili) ni fumbo alilotuachia
Tuadhimishe kwa ukumbusho waken
Verse 4
Ekaristi takatifu huleta neema ya Mbinguni,
Huleta mapatano kati yetu naye muumba wetu
Walio na imani wanayo barakan(Hadi) milele wanalo hakikishon(Lile) la kushiriki kwa utukufu wake