SectionsEucharistEkaristia Ni Chakula

Ekaristia Ni Chakula

Eucharist
Chorus

Ekaristia ni chakula, chakula cha uzimanwa milele, Ee mkate wa Mbinguni,nshibisha roho zetu *2

Verse 2

Yesu Mwokozi kashukanchini kwetu tukampokee

Verse 3

Maumbo haya ninmwili wake Yesu twakiri sote

Verse 4

Yesu mpenzi pokeanmoyo wangu na mimi wako n

Verse 5

Ninakupenda kulikonnafsi yangu Mwokozi wangu

Verse 6

Nakuabudu ee Mungunwangu mwenye heri ya Mbingu